KIPAJI CHA SALAKASI
Msanii wa kucheza salakasi katika Manispaa ya Morogoro, Dymond Senyagwa akionyesha uhodari wake wa kuvikunja viungo vyake wakati wa ufunguzi wa tamasha la sanaa la watoto la paukwa 2012 linaloshirikisha wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa hiyo ya Morogoro kwenye uwanja wa jamhuri mkoani hapa.
Reviewed by crispaseve
on
02:50
Rating:


Post a Comment