Header AD

Serengeti Fiesta 2012 iringa BHAAAAAASS!!!!!!

  Shilole akiserebuka
Aunt Ezekiel we acha tu
  Bongo movie wakiwa jukwaani
 Haya sasa MC wa Show Baba Johnniiiie!! akifanya kazi yake na kukubalika na mashabiki hapo chini.
 Mkali Lenex akifanya vitu vyake jukwaani, hakika Serengeti Fiesta Iringa ni Bhaaaaass!!
   Msanii wa Kizazi kipya Ben Paul akifanya makamuzi yake ndani ya Uwanja wa Samora mjini Iringa katika tamasha la Serengeti Fiesta 2012
Msanii funga kazi wa Hip Hop, Roma Mkatoliki akikamua jukwaani kwa staili yake ya kidole cha mwisho juu, Tamasha la Serengeti Fiesta 2012, ndani ya uwanja wa Samora mjini Iringa usiku wa kuamkia leo.
  Ray huyoooo akikamua 
 Ni mkali mwingine kutoka Morogoro kupitia shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,Jo Maker akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa mji wa Iringa wanaonelea kuingia hivi sasa ndani ya uwanja wa samora,kutibwirika pamoja na muonekano mpya wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012.
 Ni mkali mwingine kutoka jijini Mwanza kupitia shindano la Serengeti Supa Nyota 2012, Young  KIller akikamua vilivyo mbele ya wakazi wa mji wa Iringa Ndani ya  uwanja wa samora,
 Mkali Stamina nae akifanya makamuzi jukwaanikatika show kali ya Serengeti Fiesta Iringa usiku huu wa Septemba 23/24 uwanja wa Samora
  Diamond akikamua jukwaani
Sheta akimchezesha Diamond
Ndani ya uwanja wa Samora Mjini Iringa ndo kwaaaanza kumekucha katika tamasha kubwa na la aina yake ya SERENGETI FIESTA 2012 ambapo linajiachia usiku huu hadi Bhaaaaaass!!Wameanza kupanda wasanii chipukizi wa mjini Iringa na vitongoji vyake.
 Wema nae aliimba za Diamond
Mmoja wa wasanii chipukizi aliyeibukia kwenye shindano la Serengeti Supa Nyota 2012,kutoka Mkoani Mbeya aitwaye Ney Lee pichani akionesha kipaji chake cha kuimba jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa Samora,mkoani Iringa ambako hivi sasa kunarindima tamasha la Serengeti Fiesta 2012.
     Nimakamuzi ya kiutu uzima kutoka kwa Linah ambaye pia ni zao la THT.
 Linah akiimba mbele ya mashabiki wake usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 mjini Iringa
 Uzao wa THT, na huyu ni mwadada machachari anaekuja kwa kasi Rachel, akipagawisha juu ya jukwaa madhubuti la  SERENGETI FIESTA 2012 ndani ya uwanja wa Samora mjini Iringa usiku wa kuamkia leo
Wadau wa Serengeti fiesta Iringa na Dar es Salaam nao wapo hapa Uwanja wa Samora Iringa kupata burudani
Reviewed by crispaseve on 09:14 Rating: 5

No comments

Post AD