Header AD

BMTL YAUKARIBISHA MWAKA MPYA KWA SHEREHE


Mkurugenzi, Deen Nathwani na Meneja Mkuu Rasilimali Watu, Mariam Chamba wakipeana mkono wakati wa uzinduzi wa sera ya tuzo kwa wafanyakazi

 LucasiMsaki (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Mauzo wa Kampuni ya Business Machines Tanzania Ltd (BMTL), Ramakrishnan Kirubakaran.

Wafanyakazi wakipata msosi
Ngoma za kitamaduni kutoka India zilipamba sherehe hiyo.
Ngoma za kitamaduni kutoka India zilipamba sherehe hiyo.
 Tamaduni kutoka Kenya nazo zilichukua nafasi katika sherehe hiyo.
  Wafanyakazi wa Idara mbalimbali wakipata msosi
 Wafanyakazi wa BMTL wakicheza muziki
Reviewed by crispaseve on 08:28 Rating: 5

No comments

Post AD