UKAGUZI MWAMBAO WA ZIWA NYASA
KATIBU
Mkuu wa CCM, Kanali mstaafu, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) na
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kulia) wakiwa kwenye
ufukwe wa ziwa Nyasa, kwenye mwambao wa ziwa hilo katika Kijiji cha
Lupingu, Kata ya Lupingu Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, leo Mei 29,
2013, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama na
kusikiliza kero za wananchi katika mkoa huo. Wengine ni Mbunge wa
Ludewa, Deo Philikunjombe na Mbunge wa Mwibala Kange Lugora.
KATIBU
Mkuu wa CCM, Kanali mstaafu, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) na
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kulia) wakiwa kwenye
ufukwe wa ziwa Nyasa, kwenye mwambao wa ziwa hilo katika Kijiji cha
Lupingu, Kata ya Lupingu Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, leo Mei 29,
2013, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya Chama na
kusikiliza kero za wananchi katika mkoa huo.
Nape na Lugora wakieleweshana jambo kuhusu ziwa hilo
Kinana
na baadhi ya viongozi aliokuwa nao kwenye msafara wake wakiwa kwenye
ufukwe wa ziwa hilo kwenye kijiji hicho, Majini ni Mbunge wa viti maalum
na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Pindi Chana.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Nape wakipiga picha ya pamoja na baadhi ya walioambatana nao kwenye msafara huo.
Monica Msemwa akimuogesha mtoto kwenye ufukwe wa ziwa hilo la Nyasa. katika kijiji cha Lupingu wilayani Ludewa mkoani Njomba.
Kinana na msafara wake wakipita kwenye mitaa ya kijiji hicho cha Lupingu baada ya kukagua ufukwe wa ziwa Nyasa. (Pichzote na BASHIR NKOROMO)
Reviewed by crispaseve
on
06:06
Rating:
Post a Comment