SHOCK REPORT: MSANII WA FILAMU KUTOKA BONGO MOVIE KASHI AFARIKI DUNIA
Picha baadhi juu zinamuonyesha Msanii
wa filamu nchini Tanzania Jaji Khamis maarufu KASHI, ambaye anadaiwa
kufariki dunia mchana huu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambapo
alikuwa amelazwa.
Kashi alianza kupata umaarufu baada ya
kuanza kuigiza katika kikundi cha sanaa ambacho maigizo yake yalikuwa
yanarushwa na kituo cha televisheni cha ITV na pia kushiriki katika
filamu za hapa nchini maarufu kama Bongo Movie.
Kwa taarifa zaidi kuhusiana na kifo cha msanii huyo endeleaa kutembelea blog yako pendwa ya Larrybway91
//
Reviewed by crispaseve
on
07:56
Rating:
Post a Comment