RAPPER KANYE WEST AFANYA BIRTHDAY BILA KUMUALIKA BABYS MOTHER WAKE KIM KARDASHAN, YADAIWA ZIMEBAKI STORY.
Kanye West, Jay z & nas wakiwa katika picha ya pamoja katika sherehe ya kuzaliwa ya Kanye.
Rapper Kanye West ametimiza rasmi
miaka 36 tangu azaliwe, Rapper huyo maarufu anayetokea area za New York
Marekani amezua maswali mengi kutoka kwa wapenzi na mashabiki wake
kutokana na kitendo cha kukosekana Babys mother wake bi mdada Kim
kardashan.
Chanzo kinaeleeza kwamba tangu
mwanamitindo maarufu Kim kardashan amebebe ujauzito wa rapper Kanye West
kumekua na hali ya kutoelewana baina yao sababu kubwa ikiwa ni maneno
yanayoongelewa na vyombo mbalimbali vya habari, hata ivyo kuna tetesi
zambazo hazijawa rasmi kwamba huendi boss Lady Kim kardashan na mpenzi
wake Kanye wakawa wameachana kwa siri.
Katika sherehe iyo ya kuzaliwa kwa
rapper huyo walikuwepo watu wengi mashuhuri ambao walitokelezea kumpa
support kama vile rapper Jay – z na mkewe Beyonce, Rapper Nas na
marafiki wa karibu wa rapper uyo.
Reviewed by crispaseve
on
07:57
Rating:
Post a Comment