SIO AIBU KWA WANACHUO WA MTWARA TU BALI HATA KWA SERIKALI.
Ndani ya Pub hiyo, madenti hao walianza kwa staili ya kupiga pombe kabla ya michezo ya kifusika kuanza.
Pombe ilipowakolea, madenti hao waligawana, kila mtu mtu na wake na kuanza kubadilishana mate na michezo mingine ya michafu.
Pombe ilipowakolea, madenti hao waligawana, kila mtu mtu na wake na kuanza kubadilishana mate na michezo mingine ya michafu.
Hali hiyo ilizua taflani kubwa kwa wananchi waliokuwa eneo hilo huku wengine wakion
Lakini mkono wa
serikali ambao unafika kila mahala wanashindwa kudhibiti vitendo hivi
vya wanafunzi wa chuo kufanya uchafu wao ?.
Imefikia wakati
serikali ikunjue makucha yake kwa kudhibiti vitendi hivyo katika kumbi
za starehe kwani sio watu wasio jiheshimu bali hata watu wenye staha
kuingia katika kumbi hizo kwa lengo la kupata huduma za vinywaji.
CHANZO http://www.udakuspecially.com
Reviewed by crispaseve
on
05:06
Rating:
Post a Comment