PICHA ZA MKOKO MPYA ANAOMILIKI NICK MINAJ.
Rapa Nick minaj kutoka nchini Marekani ambaye yupo
chini ya Record Label ya Young Money wiki iliyopita aliamu kuonyesha
jeuri ya fedha baada ya kuvuta mkoko wa maana aina ya Lamborghini
Aventador RoadSter toleo la mwaka 2014 ambapo alisikika akisema kuwa
anampango wa kubadilisha rangi ya gari lake hilo jipya kutoka rangi ya
Blue kwenda Pink ambayo ndio rangi aipendayo.
Nick Minaj ni miongoni mwa marapa wa kike duniani walioingia
katika listi ya Forbes HipHop King wanaongoza kwa kulipwa mkwanja mrefu
kupitia kazi zake anazofanya za kimuziki na show anazopata pia bi mdada
huyo anajishughulisha na kuuza vipodozi vyake kama vile perfume
zinazofahamika kwa jina la ‘Pink Friday’ ukichanganya na dili nono
alilopata la kuwa jaji katika shindano la kutafuta vipaji la American
Pop Idol’ ambavyo vyote kwa ujumla vilimfanya aweze kuingiza mkwanja wa
kutosha.
PICHA ZA MKOKO MPYA ANAOMILIKI NICK MINAJ.
Reviewed by crispaseve
on
12:26
Rating:
Post a Comment