Header AD

Hivi ndivyo ilivyokuwa usiku wa Valentine's Day na Skylight Band ndani Thai Village



DSC_0416
Lubea wa Skylight Band alitega mingo lango kuu la kuingilia na kugawa Shots za Tequila pamoja na Sambuka bure kwa wapenzi wa Skylight Band.
DSC_0419
Mashabiki wa Skylight Band wakipata shots za Tequila bure kwenye usiku maalum wa wapendanao uliofana Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0435
Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye usiku wa wapendanao juma lililopita huku akisindikizwa na Mary Lucos, Sony Masamba na Sam Mapenzi.
DSC_0611
Wadadaz na Wakaka wakijimwaga na burudani ya Skylight Band.
DSC_0448
Walipendezaje...: Digna Mbepera akifanya yake jukwaani.
DSC_0491
MAJEMBE YA SKYLIGHT BAND....Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo katika hisia kali kwenye nyimbo za malavidavi huku akisindikizwa na Joniko Flower pamoja na Sony Masamba.
DSC_0628
Palikuwa hapatoshi....kama ulikosa juma lililopita basi burudani inaendelea leo pale pale Thai Village.
DSC_0503
Birthday Girl....Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 (katikati) sambamba na Winfrida Richard pamoja na Digna Mbepera waking'ara kwa jukwaani kwenye usiku wa Valentine's Day juma lililopita.
DSC_0637
Mheshimiwa Bundala anakwambia burudani ya Skylight Band ni Gym tosha, kama anavyoonekana pichani akisebeneka na mrembo.
DSC_0514
Nakupenda pia...Nakupenda Pia...... Collabo ya Ukweeli kati ya Hashim Donode na Winfrida Richard njoo Ijumaa hii usikie kwa masikio yako.
DSC_0525
Surprise.....Ilipotimia saa sita kamili ya kuamkia tarehe 15/2 alizaliwa Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47, waimbaji wenzake waliamua kumuimbia wimbo wa Happy Birthday na kumtakia maisha marefu.....Hujachelewa sana Ijumaa hii unaweza kum-wish belated Happy birthday na kazawadi kidogo....!
DSC_0527
DSC_0529
Champagne zilihusika na kufunguliwa na Mary Lucos pamoja na Sam Mapenzi.
DSC_0531
Mashabiki wa Skylight Band wakimpongeza Aneth Kushaba AK47.
DSC_0538
Kuogeshwa nako kulihusika hajalisha umependezaje...lazima uoge kidogo....! Full Champagne....!!!
Kwa picha zaidi ingia humu
Hivi ndivyo ilivyokuwa usiku wa Valentine's Day na Skylight Band ndani Thai Village Hivi ndivyo ilivyokuwa usiku wa Valentine's Day na Skylight Band ndani Thai Village Reviewed by crispaseve on 08:13 Rating: 5

No comments

Post AD