Header AD

Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara



Mwelimishaji wa masuala ya lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe,Bi. Sara Luzangi akiongea na wanafunzi wa shule za msingi wilayani Babati mkoani Manyara juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula vilivyowekwa virutubishi katika kampeni za kutoa elimu hiyo zinazoendelea katika wilaya mbalimbali za hapa nchini.
Waendeshaji wa kampeni ya kuongeza virutubishi katika chakula kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Chakula wakiendesha kampeni ya umuhimu wa virutubishi kwa wanafunzi wa shule za msingi wilayani humo leo.
Waendesha kampeni wakitoa elimu ya wanafunzi wa njia ya kutoa burudani katika kampeni zinazoendelea mkoani Manyara.
Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara  Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara Reviewed by crispaseve on 22:25 Rating: 5

No comments

Post AD