TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA MHE. MOSHI MUSSA CHANG'A AFARIKI DUNIA JIONI YA LEO
Mkuu
wa Wilaya ya Kalambo enzi za uhai wake Mhe. Moshi Mussa Chang'a ambae
amefariki dunia jioni ya leo katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es
Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugojwa wa shinikizo la damu na
Kisukari.
Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. (Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)
Taratibu za mazishi zitatangazwa mapema mara baada ya kikao cha wanandugu. Tunatoa pole kwa wale wote walioguswa na msiba huu. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. (Na Hamza Temba - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA MHE. MOSHI MUSSA CHANG'A AFARIKI DUNIA JIONI YA LEO
Reviewed by crispaseve
on
06:13
Rating:
Post a Comment