KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU WILAYANI IGUNGA LEO.
Meneja
Mradi wa ujenzi wa Daraja la Mbutu,Injinia Makoye Luhuya akielezea
maendeleo ya ujenzi wa daraja la Mbutu kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu
Kinana mapema leo,wilayani Igunga mkoani Tabora
Ujenzi wa daraja la Mbutu ukiendelea kwa kasi
Katibu wa NEC,
Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiweka mbao wakati wa ujenzi wa daraja hilo
ukiendelea,wilayani Igunga mkoani Tabora mapema leo asubui.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akipata maelezo kutoka
kwa Meneja Mradi wa ujenzi wa
Daraja hilo,Injinia Makoye Luhuya kuhusu
ujenzi wa daraja la Mbutu, wilayani Igunga, leo Mei 9, 2014, akiwa katika ziara
ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kuimarisha uhai wa chama na kusikiliza
kero za wananchi mkoani Tabora. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi,
Nape Nnauye.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (mbele) akishuka, baada ya kukagua ujenzi wa
daraja la Mbutu, wilayani Igunga, leo Mei 9, 2014, akiwa katika ziara ya
kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kuimarisha uhai wa chama na kusikiliza
kero za wananchi mkoani Tabora.
Sehemu ya Daraja hilo Mbutu kama lionekanavyo pichani.
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU WILAYANI IGUNGA LEO.
Reviewed by crispaseve
on
04:38
Rating:
Post a Comment