Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amelalamikia uamuzi wa Bunge unaopendekeza yeye na baadhi ya vigogo wachukuliwe hatua, akidai kuwa haukuwa wa haki kwa wote waliotuhumiwa na ulifanywa kwa hasira na kufuata mkumbo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema.
---
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick
Werema amelalamikia uamuzi wa Bunge unaopendekeza yeye na baadhi ya
vigogo wachukuliwe hatua, akidai kuwa haukuwa wa haki kwa wote
waliotuhumiwa na ulifanywa kwa hasira na kufuata mkumbo.
Bunge liliazimia Jaji Werema kushughulikiwa kwa
mujibu wa sheria kutokana na kuipotosha Serikali kuhusu malipo ya Sh306
bilioni kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, akishauri fedha hizo zilipwe
kwa Kampuni ya IPTL iliyo na mkataba wa ufuaji umeme na Tanesco bila ya
kukata kodi.
Jaji huyo hakusalimu amri wakati Bunge likijadili
tuhuma dhidi yake, akisema anaamini alichofanya na kutaka abebeshwe
msalaba na wakati fulani alishiriki kupendekeza jinsi ya kufikia
maazimio ya Bunge dhidi ya watuhumiwa.
Akizungumza na gazeti hili kuhusu maazimio ya Bunge katika sakata la uchotaji wa fedha hizo, jaji Werema alisema:
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amelalamikia uamuzi wa Bunge unaopendekeza yeye na baadhi ya vigogo wachukuliwe hatua, akidai kuwa haukuwa wa haki kwa wote waliotuhumiwa na ulifanywa kwa hasira na kufuata mkumbo.
Reviewed by crispaseve
on
22:08
Rating:

Post a Comment