Header AD

Vilio Vyatawala Keshi Ya Mheshimiwa Godbless Lema

 Wafuasi wa Chadema wakiwa taabani kiasi cha wengine kulia kama mama huyu,  baada ya kusikia hukumu hiyo dhidi ya  Lema. Wafuasi  hao wa Chadema walikuwa ndani ya viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha wakati hukumu ikitolewa na kumuona Lema ana hatia na hivyo kuvuliwa ubunge na Jaji
Wapiga kura watatu waliofungua kesi ya kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya  Lema wakiwa mahakamani kabla ya hukumu ya kesi hiyo kuanza kusomwa na jaji Gabriel Rwakibarila katika mahakama kuu kanda ya Arusha, Kushoto ni  Mussa Mkanga,  Happy Kivuyo na Agnes Mollel .Picha zote na  Shaaban Mdoe wa Gazeti la Uhuru
Reviewed by crispaseve on 03:31 Rating: 5

No comments