Header AD

Rais Jakaya Kikwete Apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Botswana uliowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Botswana Mhe Pandu Skelemi Leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Waziri wa Mambo ya Nje wa Botwana Mhe Pandu Skelemi baada ya kupokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa nchi hiyo  leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Botswana uliowasilishwa na  Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo Mhe Pandu Skelemi leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Botswana uliowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo Mhe Pandu Skelemi leo Ikulu jijini Dar es salaam.Picha na IKULU
Reviewed by crispaseve on 06:11 Rating: 5

No comments

Post AD