HIVI KUNA UKWELI JUU YA HUU UJUMBE AU UMETENGENEZWA BAADA YA KUKAMATWA?
Yaelekea
mwanadada Jackie alikuwa amejipanga kisawa sawa na alijitoa muhanga na
kujua lolote lingeweza kumpata kutokana na kazi aliyo kuwa akifanya ya
kubeba sembe. Jackie alijipanga na kuamua kumuachia rafiki yake kipenzi
Martin Kadinda maagizo na wosia wake just incase ikatokea akafariki.
Jackie aliweza kuandika ujumbe huo kwenye status yake ya BBM kama inavyo
onekana hapa chini.
Jackie
amekamtwa mapema mwezi huu Macau, China na kilo 1.1 za heroin na sasa
anasubiria hatma yake kutokana na kosa hilo la kusafirisha madawa ya
kulevya.
Katika maisha kila mtu ana yule rafiki mmoja (BFF) ambaye anamuamini na kumweka moyoni mwake kama ilivyo kwa Jackie na Marin.
HIVI KUNA UKWELI JUU YA HUU UJUMBE AU UMETENGENEZWA BAADA YA KUKAMATWA?
Reviewed by crispaseve
on
08:06
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
08:06
Rating:





Post a Comment