Ona Jinsi Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia Alivyopokelewa Kwa Shangwe Katika Ofisi Za Wizara Hiyo Kwa Mara Ya Kwanza Kama Naibu Waziri

Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof.
Elisante Olegabriel akimkaribisha Naibu Waziri wa Wizara ya Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia katika tukio la
kumkaribisha lililofanyika jijini Dar es Salaam jana

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania Bwana Clement
Mshana (kushoto) akimpongeza Mheshimiwa Naibu Waziri wa Wizara ya
Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia wakati wa
mapokezi yake katika Ofisi za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam Leo
katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Prof. Elisante Olegabriel

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Mheshimiwa Juma Nkamia akisalimiana na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA
Bwana Kulwa Magingila wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika jijini Dar
es Salaam leo kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Prof Elisante
Olegabriel

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt.
Fennela Mukangara akimkaribisha Naibu Waziri Mheshimiwa Juma Nkamia
katika Ofisi za Wizara zilizopo katika jengo la Mfuko wa Pensheni wa
PSPF jijini Dar es Salaam jana.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fennela
Mukangara akiongea na Wanahabari akiongea na Wanahabari wakati wa
mapokezi ya Naibu Waziri Mheshimiwa Juma Nkamia jijini Dar es Salaam leo
wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Bwana
Raphael Hokororo.

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Mheshimiwa Juma Nkamia akiongea na Wanahabari Ofisini kwake katika tukio
la kumkaribisha lililofanyika jijini Dar es Salaam leo kulia ni Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara Prof Elisante Olegabriel
Ona Jinsi Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia Alivyopokelewa Kwa Shangwe Katika Ofisi Za Wizara Hiyo Kwa Mara Ya Kwanza Kama Naibu Waziri
Reviewed by crispaseve
on
12:59
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
12:59
Rating:

Post a Comment