Kitu Kinachosadikiwa Kuwa ni Bomu Laonekana Makutano ya Barabara za Morogoro na Shekilango Karibu Kabisa na Kituo Kipya Cha Mabasi Yaendayo Kasi


Vikosi Maalum Vya Ulinzi na Usalama Wakiangalia kwa makini na kuondoa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kwenye kitu cha mabasi Shekilango jijini Dar es Salaam kwenye makutano ya Barabara za Morogoro na Shekilango Leo Mchana Huu.Hata hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vilifanikiwa kuondoa kitu hicho bila madhara yoyote kwa wananchi.Habari zaidi baaadae.,.
Kitu Kinachosadikiwa Kuwa ni Bomu Laonekana Makutano ya Barabara za Morogoro na Shekilango Karibu Kabisa na Kituo Kipya Cha Mabasi Yaendayo Kasi
Reviewed by crispaseve
on
22:28
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
22:28
Rating:

Post a Comment