Header AD

RICK ROSS ANUNUA JUMBA LA KIFAHARI LA BONDIA WA ZAMANI EVANDER HOLLYFIELD.

> Inside Rapper Rick Ross's New Home - Photo posted in The Hip-Hop Spot | Sign in and leave a comment below!
C.E.O wa Crew ya M-M-M-M-Maybach Music(Double M),  Rapa Rick Ross ameripotiwa kununua jumba kubwa la kifahari ambalo kipindi cha nyuma lilikuwa linamilikiwa na mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani,  Evander Hollyfield.
Jumba hilo lililopo katika mji wa Georgia Marekani,  ukubwa wake ni mita za mraba 54,000 lenye jumla ya vyumba 109,  Bwawa kubwa la kuogelea na eneo la wazi lenye ukubwa wa eka 235,  kwa taarifa ni kwamba jumba hilo linagharimu kiasi cha dola milioni 1 kuweza kulihudumia kwa muda wa mwaka mzima. Mpaka sasa Rapa huyo ameshalipia kiasi cha dola za kimarekani Milioni 8…Tazama picha hapa chini.
Wadau wanaofuatilia gemu ya muziki wamedai kwamba Rozzay amefanya matusi hayo ikiwa ni kama kumlipizia Rapa 50 Cent ambaye aliwahi kununua jumba la kifahari lililokuwa na eka 50,000 kutoka kwa bondia Mike Tyson kwa gharama ya Dola za kimarekani Milioni 4.1 kutokana na wawili hao kuwepo katika bifu,  ivyo mkae tayari usishangae kusikia Rick Ross Kamng’ata sikio 50 Cent.
> Inside Rapper Rick Ross's New Home - Photo posted in The Hip-Hop Spot | Sign in and leave a comment below!
> Inside Rapper Rick Ross's New Home - Photo posted in The Hip-Hop Spot | Sign in and leave a comment below!
RICK ROSS ANUNUA JUMBA LA KIFAHARI LA BONDIA WA ZAMANI EVANDER HOLLYFIELD. RICK ROSS ANUNUA JUMBA LA KIFAHARI LA BONDIA WA ZAMANI EVANDER HOLLYFIELD. Reviewed by crispaseve on 05:54 Rating: 5

No comments

Post AD