Header AD

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa Amfariji Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba Kwa Kufiwa na Mama yake mzazi Kijijini Kwake Maezangula Wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba (wa pili kushoto) wakati alipokuwa akimtambulisha dada zake,wakati Mh Lowassa alipokwenda kumpa pole Mzee Makamba aliepatwa na msiba wa kufiwa na mama yake mzazi huko kijijini kwake Maezangula wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (katikati) na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba wakimsikiliza Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia,Mh. January Makamba wakati wa mazungumzo yao.Mh Lowassa aliitembelea Familia ya Mzee Makamba kwa  kumpa pole kwa kupatwa na msiba wa kufiwa na mama yake mzazi huko kijijini kwake Maezangula wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga jana.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa Amfariji Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba Kwa Kufiwa na Mama yake mzazi Kijijini Kwake Maezangula Wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa Amfariji Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba Kwa Kufiwa na Mama yake mzazi Kijijini Kwake Maezangula Wilaya ya Korogwe,Mkoani Tanga Reviewed by crispaseve on 07:51 Rating: 5

No comments

Post AD