Mdau Boniface Makulilo akijadili suala la Scholarship katika kipindi cha NJE-NDANI
![]() |
| Mdau Ernest Makulilo ambaye huandika kuhusu masuala ya Scolarship HAPA na pia kutoa video za suala hili HAPA |
UNATAKA
SCOLARSHIP?
Unajua pa kuzipata?
Unajua namna ya kuzipata?
Masharti yake je?
Makosa yanayofanywa na wengi?
Tofauti ya Scholarships za Undergraduate na Graduates wazijua?
Yapi ya kuchunga wakati wa kutafuta scholarships?
Boniface Makulilo ambaye amenufaika na scholarship hizi na kuandika
kuzihusu kwa miaka ipatayo sita anaungana na Mubelwa Bandio wa Jamii
Production kujadili hili.
Kuna mengi mema ya kujifunza.
KARIBU
Mdau Boniface Makulilo akijadili suala la Scholarship katika kipindi cha NJE-NDANI
Reviewed by crispaseve
on
00:58
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
00:58
Rating:


Post a Comment