TIMU YA YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO.
Wachezaji wa Yanga wakiwa na viongozi wao wamenusurika kupata
ajali mbaya leo asubuhi eneo la Mikese baada ya basi lao kuingia
mtaroni walipokuwa wakisafiria kutokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Taarifa zinasema kwamba hakuna mchezaji au mtu yoyote
aliyeumia katika ajali hiyo. Timu ya Yanga jana ilicheza na wakata miwa
wa Mtibwa katika dimba la Jamhuri na matokeo kuwa suluhu.
TIMU YA YANGA YAPATA AJALI MIKESE MKOANI MOROGORO.
Reviewed by crispaseve
on
14:05
Rating:

Post a Comment