KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA.
Mwenyekiti
wa Bunge la Katiba Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari
leo mjini Dar es salaam kuhusu mazungumzo yake na Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo(hayupo katika picha) . Kushoto ni Katibu wa Jimbo Kuu la Dar e salaam Padre Denis Wigira. Picha na Bunge Maalum la Katiba.
Mwadhama
Polycarp Kardinali Pengo(kushoto) akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge la
Katiba Samuel Sitta (kulia) ofisini kwake leo mjini Dar es salaam kuhusu
maendeleo ya Bunge Maalum.
KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA.
Reviewed by crispaseve
on
03:04
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
03:04
Rating:



Post a Comment