Header AD

Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji




Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU
Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji  Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara ya Uingereza na Ubelgiji Reviewed by crispaseve on 07:56 Rating: 5

No comments

Post AD