WASHINDI WA TMT KUTOKA KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WAWASILI DAR ES SALAAM TAYARI KWA SAFARI YA KUSHINDANIA MILIONI 50
Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka Kanda ya
Ziwa wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es
Salaam jana kwaajili ya Kuingia kambini tayari kwa safari ya kushindania
Milioni 50 katika fainali itakayofanyika Mwishoni mwa Mwezi wa Nane
Washindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kanda ya Nyanda za
Kusini, Stephen Mapunda(mwenye kofia nyekundu) na Mtawa Kaparata (mwenye
fimbo) wakiwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere jana tayari kwa
safari ya kushindania Shilingi Milioni 50 za Kitanzania
Washindi wa Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini wakibadilishana Mawazo
wakati walipowasili katika uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar
Es Salaam jana.
Washindi wa Tanzania Movie Talents (TMT) wakielekea kwenye basi la TMT
tayari kwa kupelekwa kwenye Hoteli kwaajili ya Kupumzika mara baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere, Jijini Dar Es Salaam.
Picha zote na Josephat Lukaza
WASHINDI WA TMT KUTOKA KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WAWASILI DAR ES SALAAM TAYARI KWA SAFARI YA KUSHINDANIA MILIONI 50
Reviewed by crispaseve
on
14:33
Rating:

Post a Comment