CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA MWANASOKA BORA BARANI ULAYA 2013 – 2014
Ronaldo amewabwaga wachezaji wenzake waliokuwa katika
kinyang’anyiro hicho akiwemo Straika wa Bayern Munich Arjen Robben na
goli kipa Manuel Neuer Katika kura zilizopigwa wazi na waandishi wa
habari wapatao 54.
CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA MWANASOKA BORA BARANI ULAYA 2013 – 2014
Reviewed by crispaseve
on
06:56
Rating:
Post a Comment