DWYANE WADE NA GABRIELLE UNION WALA FUNGATE(HONEYMOON) TANZANIA
Wade na Gabrielle katika pozi
Mcheza kikapu nyota wa Timu ya Miami Heat, Dwyane Wade na
mkewe muigizaji Gabrielle Union ambao walifunga ndoa Agosti 30 mwaka
huu, wameamua kula fungate lao(honeymoon) barani Africa kwa kutembelea
mbuga ya wanyama ya Serengeti iliyopo mkoani Mara nchini Tanzania kwa
ajili ya kujionea vivutio mbalimbali.
Mastaa hao hawakuishia hapo bali walipata pia nafasi ya
kutembelea kisiwa cha Maldives kilichopo katika pwani ya Bahari ya Hindi
na kutupia picha kadhaa kwenye akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii
kama vile Twitter, facebook na Instagram.
“Pure joy! Life on the Serengeti. #Tanzania #Masai #2ndLeg.” aliandika Gab kwenye ukurasa wake wa Instagram
DWYANE WADE NA GABRIELLE UNION WALA FUNGATE(HONEYMOON) TANZANIA
Reviewed by crispaseve
on
01:27
Rating:

Post a Comment