FALCAO ATUA MAN UNITED, WELBECK ASAJILIWA NA WASHIKA MTUTU WA javascript:;JIJI LA LONDON ‘ARSENAL’
Dirisha la usajili wa kimataifa limefungwa jana ikiwa ligi
kuu ya soka ya England imetumia pauni milioni 835 kiasi kikubwa kuliko
mwaka jana ambapo walitumia pauni milioni 760.
Timu ya Manchester United pekee imetumia karibu pauni
milioni 150 pamoja na kumchukua kwa mkopo Ramadel Falcao toka Monaco ya
ufaransa kwa pauni milioni 6 na kuwauzia Arsenal Danny Wilbeck kwa
pauni milioni 16.
Falcao akiwa ametinga uzi mpya wa Man United
Danny Welbeck
Welbeck atakuwa akivaa jezi yenye namba 23 mgongoni ambayo ilikuwa ikivaliwa na beki wa zamani wa timu hiyo Sol Campbell.
FALCAO ATUA MAN UNITED, WELBECK ASAJILIWA NA WASHIKA MTUTU WA javascript:;JIJI LA LONDON ‘ARSENAL’
Reviewed by crispaseve
on
08:17
Rating:

Post a Comment