PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC
Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel
na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa
Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata fursa ya
kupiga picha na baadhi ya watanzania waishio huko.
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC
Reviewed by crispaseve
on
09:07
Rating:

Post a Comment