Header AD

PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC

Msanii wa nyota wa kiwanda cha filamu Bongo, Aunty Ezekiel na mbongo fleva, Kassim Mganga wamepata nafasi ya kutembelea ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington Dc nchini Marekani na kupata fursa ya kupiga picha na baadhi ya watanzania waishio huko.
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC
Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC
Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC
Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC PICHA : AUNTY EZEKIEL, KASSIM MGANGA WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC Reviewed by crispaseve on 09:07 Rating: 5

No comments

Post AD