Q-CHILLAH: CHUJI, NIYONZIMA NA MANGWAIR NDIYO WALIOOKOA MAISHA YANGU
Mwanamuziki
nguli wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, katika
mahojiano yake na Global TV Online sehemu ya PILI amefunguka mambo kibao
yakiwemo haya:
- Safari yake ya maumivu -
Maamuzi ya kutaka kujiua ambapo amewataja Athuman Idd Chuji, Haruna
Niyonzima na Marehemu Albert Mangwair kuwa ndiyo waliomnusuru asijiue - Kuhusu kurogwa, Q-Chillah amekanusha kuwa hajawahi kutamka hayo maneno wala kumtaja mtu yeyote
- Aelezea hisia za baba yake - Kuvunjika kwa Top Band - Pia amefunguka kuhusu kifo cha rafiki yake Adam Kuambiana - Kuhusu ujio wake mpya - Game ya muziki anavyoiona baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu
Q-CHILLAH: CHUJI, NIYONZIMA NA MANGWAIR NDIYO WALIOOKOA MAISHA YANGU
Reviewed by crispaseve
on
02:41
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
02:41
Rating:

Post a Comment