BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
WASANII wa filamu nchini, Bond Bin Sinan na Salim Ahmed ‘Gabo’ hivi karibuni walinaswa wakisaga mirungi hadharani bila kujali kadamnasi.
Ishu hiyo ilitokea katika Ukumbi wa Dar West, Tabata Dar kulikokuwa
na sherehe ya bethdei ya Wastara Juma ambapo wasanii hao walikuwa
wamejaza mirungi kwenye mfuko wa nailoni na kuweka mezani huku
wakitafuna kuanzia mwanzo hadi mwisho wa shughuli.…
BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
Reviewed by crispaseve
on
03:25
Rating:

Post a Comment