Header AD

Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki

  Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la kukuza  na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha
kufikia ndoto zao.  Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon, uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam.
 Mwanamuziki wa Bongo Flava Ommy Dimples  akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star"kwa lengo la kukuza  na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha kufikia ndoto zao.  Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon. uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam
 Mwanamuziki wa Muziki wa kizazi Kipya AY na Mtangazaji maarufu nchini Salam Jabiri wakiwa na baadhi ya wageni walioalikwa katika uzinduzi wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo " Airtel TRACE Music Star Program inayoendeshwa
ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon. uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam
 baadhi ya waandishi wa habari na wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa Airtel Trace Music Star
 Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akiwa na msaani wa muziki wa kizazi kipya Lady JD wakati wa uzinduzi wa Airtel Trace Music Star
 Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Sunil Colaso akifatilia kwa karibu uzinduzi wa program ya kusaka vipaji vya muziki ijulikanayo kama Airtel Trace Music Star.
Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki Reviewed by crispaseve on 03:29 Rating: 5

No comments

Post AD