Header AD

Mh. Suluhu akutana na balozi wa Norway Nchini,afanya mazungumzo na Mchungaji Stella Matte


Barozi wa Norway Nchini Tanzania Anne - Marie Kaarstad akizungumza na waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu (kulia), alipomtembelea Ofisini kwake, mtaa wa Ruthuli jijini Dar es Salaam leo.
Anne Kristin Hermansen (kushoto),akiwa pamoja na Elisabeth Schwale wakisikiliza mazungumzo baina ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu na Barozi wa Norway Nnchini Tanzania Anne - Marie Kaarstad (hawapo pichani) walipomtembelea ofisini hapo leo.
Mchungaji Stella Matte akitoa shukrani kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Mheshimiwa Samia Suluhu (kulia), kwa kuhudhulia semina waliyoandaa iliyohusu maswala ya uongozi, alipomtembelea ofisini kwake leo mtaa wa Ruthuli jijini Dar es Salaam.
Mh. Suluhu akutana na balozi wa Norway Nchini,afanya mazungumzo na Mchungaji Stella Matte Mh. Suluhu akutana na balozi wa Norway Nchini,afanya mazungumzo na Mchungaji Stella Matte Reviewed by crispaseve on 07:24 Rating: 5

No comments

Post AD