Rais Jakaya Kikwete aungana na Maofisa wa Klabu ya Sunderland AFC (SAFC) pamoja na Kampuni ya Umeme ya Marekani ya Symbion kusherehekea uidhinishaji wa ujenzi wa Uwanja mpya wa michezo ya Umma jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Biashara wa Chama cha Michezo cha Sunderland, Bi. Gary Hutchinson
akimkabidhi zawadi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Profesa
Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kutoa Kibali chake kwa ajili
ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya
Mrisho Kikwete Youth Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014
eneo la Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete
(kulia) akiwaonyesha jezi yenye jina la Tanzania kwa wageni waalikwa
pamoja na wananchi waliohudhuria hafla ya kutoa Kibali kwa ajili ya
ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho
Kikwete Youth Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la
Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Kijana mdogo akimkabidhi chepe Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya
kuchotoea udongo kuweka katika mche wa mnazi wakati wa hafla ya kutoa Kibali
kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya
Mrisho Kikwete Youth Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la
Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
|
Mtoto akimsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kuweka maji katika shina la mche
wa mnazi wakati wa hafla ya kutoa Kibali kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa
Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho Kikwete Youth Park. Tukio
hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Mtendaji
Mkuu wa Kampuni ya Symbion Bwana Paul Hinks akitoa maelezo yake juu ya
ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho
Kikwete Youth Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la
Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Biashara wa Chama cha Michezo cha Sunderland, Bi. Gary Hutchinson
akitoa maelezo machache kabla ya kumkaribisha rasmi Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya
kutoa hotuba pamoja na kutoa Kibali chake kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja
wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho Kikwete Youth
Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la Kidongo
Chekundu jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Raymond Mushi akitoa maelezo machache
kabla ya kumkaribisha rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa hotuba pamoja na
kutoa Kibali chake kwa Chuo cha Michezo cha Sunderland kwa ajili ya
ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho
Kikwete Youth Park. Tukio hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete
akiwahutubia wageni waalikwa, wafanyakazi mbalimbali wa Kampuni ya
Symbion pamoja na wananchi wakati wa hafla ya kutoa Kibali chake kwa
Chuo cha Michezo cha Sunderland kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo
wa Umma uliopewa jina la Rais Jakaya Mrisho Kikwete Youth Park. Tukio
hilo limefanyika leo 1 Novemba, 2014 eneo la Kidongo Chekundu jijini Dar
es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete aungana na Maofisa wa Klabu ya Sunderland AFC (SAFC) pamoja na Kampuni ya Umeme ya Marekani ya Symbion kusherehekea uidhinishaji wa ujenzi wa Uwanja mpya wa michezo ya Umma jijini Dar es Salaam.
Reviewed by crispaseve
on
06:36
Rating:

Post a Comment