Header AD

TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA KWENDA JAPAN

Meneja wa Karakana wa Kampuni ya Toyota Tanzania Ltd, Josee Alverace (kushoto) na Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (katikati) wakimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa jumla, Maria Robi wa Toyota Mwanza, wakati wa hafla maalum ya 12 ya kuwapongeza na kuwatunukia wafanyakazi bora wa mwaka 2014 wa Kampuni hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ofisi za Toyota zilizopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. 
Washindi wakipokea zawadi zao...wakati wa hafla hiyo....
Mgeni rasmi, Eng. Prisca Mkama, akimkabidhi zawadi ya mshindi Peter Louce, wakati wa hafla maalum ya kuwapongeza na kuwatunukia wafanyakazi bora wa mwaka 2014 wa Kampuni hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ofisi za Toyota zilizopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee.
Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (kushoto) na mgeni rasmi Eng. Prisca Mkama, wakipozi kwa picha na mshindi Anna Mzuri
Washindi wakipokea Tuzo zao...wakati wa hafla hiyo..
TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA KWENDA JAPAN TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA, MMOJA ALAMBA TIKETI YA KWENDA JAPAN Reviewed by crispaseve on 07:37 Rating: 5

No comments

Post AD