Header AD

Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba Jana alipovamiwa na kikundi cha watu wachache kwenye mdahalo wa Kujadili Katiba iliyopendekezwa


Jaji Joseph Warioba akitoa mada.
Mtoa mada katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa, Jaji Joseph Warioba akitoa mada kabla ya mkutano huo kuvunjika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Saam Jana
 Vijana wakiwa na mabango.
 
Baadhi ya vijana walioingia na mabango ndani ya ukumbi wa mkutano wakiwa na mabango yaliyokuwa yakisomeka ‘Katiba inayopendekezwa tumeipokea tunaiunga mkono’ 
 Mmoja wa vijana waliokuwa wakitoa maneno ya kashfa kwa Jaji Warioba akiwanyooshea vidole viongozi wa meza Kuu.
 Mabango yakiwa juu.
 Fujo zinaanza.
 Baadhi ya viti vilivyovujwa.
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole akimzuia mmoja wa vijana aliyekuwa na jazba mara baada ya kutokea kwa vurugu katika mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekeza.
Mlinzi wa Jaji Joseph Warioba (kushoto) akimkinga kwa mikono ili asipate madhara baada ya mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa kuvamiwa na kundi la vijana na kusababisha uvunjifu wa amani. 
Jaji Joseph Warioba akiangalia usalama wake kabla ya kuondolewa mlinzi wake katika ukumbi wa Ubungo Plaza ambapo mdahalo wa kuijadili Katiba inayopendekezwa ulikuwa ukifanyika kabla ya kuvunjika.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku (katikati) akisindikizwa kuingia katika chumba cha VIP mara baada ya kuvunjika kwa mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa. Mdahalo huo uliandalia na taasisi hiyo.
 Jaji Warioba akiwapungia mkono wananchi waliokuwa wamefurika nje ya jengo la Ubungo Plaza ambako mdahalo wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulikuwa ukifanyika.
 'Kwa herini wananchi niko salama
 Jaji Warioba akisindikizwa na makachero wa Polisi.
 Jaji Warioba akitoka katika ukumbi huku akisindikizwa na askari kanzu.
Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba Jana alipovamiwa na kikundi cha watu wachache kwenye mdahalo wa Kujadili Katiba iliyopendekezwa Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba Jana alipovamiwa na kikundi cha watu wachache kwenye mdahalo wa Kujadili Katiba iliyopendekezwa Reviewed by crispaseve on 07:41 Rating: 5

No comments

Post AD