UNDP WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NOONDOTO NA ELANG’ATADAPASH
Pichani
juu na chini ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na
mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini,
Alvaro Rodriguez akikata utepe kuzindua rasmi mradi mkubwa wa maji wa
kwa vijiji vya Noondoto na Elang’atadapash uliosaidiwa na UNDP. Kushoto
ni Mratibu Kitaifa kutoka UNDP, Bw. Nehemia Mususuri akishuhudia tukio hilo.
Jiwe la msingi kama linavyosemeka pichani.
Mratibu
Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez katika
picha ya pamoja na wakazi wa vijiji vya Noondoto na Elang’atadapash mara
baada ya kuzindua mradi huo wa maji.
Mratibu
Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez,
akinawa mikono na maji hayo mara baada ya kuzindua rasmi tangi kubwa la
maji kijijini hapo.
Mratibu
Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez,
akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa jiji cha Elang’atadapash, Bi. Nabulu
Kumokndare kama ishara ya kuzindua rasmi mradi huo.
Mratibu
Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez,
akikagua kisima cha maji cha kijiji hicho.
Wanyama
wakinywa maji safi na salama wakati wa sherehe za kuzinduliwa rasmi kwa
mradi mkubwa wa maji utakaohudumia wakazi 9,700 na mifugo 47,700.
UNDP WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NOONDOTO NA ELANG’ATADAPASH
Reviewed by crispaseve
on
22:48
Rating:

Post a Comment