Header AD

UNDP WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NOONDOTO NA ELANG’ATADAPASH

IMG_4368
Pichani juu na chini ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akikata utepe kuzindua rasmi mradi mkubwa wa maji wa kwa vijiji vya Noondoto na Elang’atadapash uliosaidiwa na UNDP. Kushoto ni Mratibu Kitaifa kutoka UNDP, Bw. Nehemia Mususuri akishuhudia tukio hilo.
IMG_4373
IMG_4399
Jiwe la msingi kama linavyosemeka pichani.
IMG_4420
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez katika picha ya pamoja na wakazi wa vijiji vya Noondoto na Elang’atadapash mara baada ya kuzindua mradi huo wa maji.
IMG_4428
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez, akinawa mikono na maji hayo mara baada ya kuzindua rasmi tangi kubwa la maji kijijini hapo.
IMG_4438
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez, akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa jiji cha Elang’atadapash, Bi. Nabulu Kumokndare kama ishara ya kuzindua rasmi mradi huo.
IMG_4451
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez, akikagua kisima cha maji cha kijiji hicho.
IMG_4483
Wanyama wakinywa maji safi na salama wakati wa sherehe za kuzinduliwa rasmi kwa mradi mkubwa wa maji utakaohudumia wakazi 9,700 na mifugo 47,700.
UNDP WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NOONDOTO NA ELANG’ATADAPASH UNDP WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NOONDOTO NA ELANG’ATADAPASH Reviewed by crispaseve on 22:48 Rating: 5

No comments

Post AD