KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI
Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakifanya yao jukwaani.

nakupenda
pia pia aha...Nakupenda pia...You make me wanna say....Nakupenda pia
pia ahaa.....Vijana wakiwa kwenye hisia kali jukwaani.
Meneja
wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa
bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa
sapoti na Digna Mbepera.
Digna
Mbepera na Bela Kombo wakimpa back up Aneth Kushaba AK47 kwenye show
zao za kila Ijumaa ndani ya viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Majembe ya Skylight Band yakionyesha manjonjo yao jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.
Aneth Kushaba na Sam Mapenzi wakiwapa raha mashabiki wao huku Digna Mbepera na Bella Kombo.
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakiserebuka mdogo mdogo.
Birthday girl nae hakubaki nyuma aliunga tela na kuburudika na Skylight Band.
Msanii
wa bongo movie Kajala akitembeza manoti ya wekundu wa msimbazi kwa
waimbaji wa Skylight Band Ijumaa iliyopita alipokunwa na uimbaji wao.
Kajala akizichomoa tu kwenye pochi lake.
Joniko Flower akisubiria zamu yake.
Joniko Flower akipokea manoti yake kutoka kwa Msanii wa bongo movie Kajala.
Na kwa wale wasanii waliokuwa back stage pia walibahatika kujizolea manoti kutoka kwa Kajala.
KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI
Reviewed by crispaseve
on
09:18
Rating:

Post a Comment