Header AD

KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI


 DSC_0092
 Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakifanya yao jukwaani.
DSC_0121
nakupenda pia pia aha...Nakupenda pia...You make me wanna say....Nakupenda pia pia ahaa.....Vijana wakiwa kwenye hisia kali jukwaani.
DSC_0028
 Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.
DSC_0030
Digna Mbepera na Bela Kombo wakimpa back up Aneth Kushaba AK47 kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0071
Majembe ya Skylight Band yakionyesha manjonjo yao jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.
DSC_0082
Aneth Kushaba na Sam Mapenzi wakiwapa raha mashabiki wao huku Digna Mbepera na Bella Kombo.
DSC_0147
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakiserebuka mdogo mdogo.
DSC_0149
DSC_0158
Birthday girl nae hakubaki nyuma aliunga tela na kuburudika na Skylight Band.
DSC_0279
Msanii wa bongo movie Kajala akitembeza manoti ya wekundu wa msimbazi kwa waimbaji wa Skylight Band Ijumaa iliyopita alipokunwa na uimbaji wao.
DSC_0280
Kajala akizichomoa tu kwenye pochi lake.
DSC_0281
Joniko Flower akisubiria zamu yake.
DSC_0282
Joniko Flower akipokea manoti yake kutoka kwa Msanii wa bongo movie Kajala.
DSC_0283
Na kwa wale wasanii waliokuwa back stage pia walibahatika kujizolea manoti kutoka kwa Kajala.
KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI Reviewed by crispaseve on 09:18 Rating: 5

No comments

Post AD