PICHA ZA ALICHOKIFANYA LADY JAYDEE NYUMBANI KWAKE SIKU YA BOXING DAY
Wakati waumini wa dini ya kikristo Duniani kote
wakisherekea sikukuu ya Christmas, Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa
Bongo, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ aliamua kujipongeza na watu wake wa
karibu kwa kuwaandalia hafla ndogo nyumbani kwake Masaki siku ya
Boxing Day(Dec.26).
Miongoni mwa watu mashuhuri waliohudhuria ni pamoja na
Professor Jay, mbunge wa viti maalum Catherine Magige, mbunge wa bunge
la Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji, Rapa wa kike kutoka Nairobi Nazizi
na Dabo. Cheki picha za kilichojiri hapo chini.
PICHA ZA ALICHOKIFANYA LADY JAYDEE NYUMBANI KWAKE SIKU YA BOXING DAY
Reviewed by crispaseve
on
10:20
Rating:









Post a Comment