Header AD

SHOW YA SAUTI SOL ILIVYOBAMBA KATIKA JEMBEKA PARTY JIJINI MWANZA.

Sauti Sol toka nchini Kenya mwishoni mwa wiki (21/02/2015) wamepiga show ya kufufuka mtu ndani ya kiota cha burudani chanye hadhi ya kitalii Jembe Beach ndani ya party lililopewa jina la JEMBEKA, likiandaliwa na Kituo kipya cha redio jijini Mwanza Jembe FM 93.7.
  Mashabiki walitoa ushirikiano wa kila htua zilizokuwa zikiendelea stejini.
Hapo vijEee....!!
Kenyan Afro Pop (2014 MTV EMA Best Worlwide Act Nominees) walifanya kazi ya ukweli..
SHOW YA SAUTI SOL ILIVYOBAMBA KATIKA JEMBEKA PARTY JIJINI MWANZA. SHOW YA SAUTI SOL ILIVYOBAMBA KATIKA JEMBEKA PARTY JIJINI MWANZA. Reviewed by crispaseve on 07:06 Rating: 5

No comments

Post AD