WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY
Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii,
Mhe. Lazaro Nyalandu ( katika kati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya
Norway, Mhe. Ola Elvestuen (kushoto) wakiwa na Balozi wa Norway Nchini
Tanzania, Bi. Hanne-Marie Kaarstad,
(kulia) Kabla ya Mkutano wa Kamati
ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na
Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo
House jijini Dar es Salaam.
Waziri waWizara ya Maliasili na Utalii,
Mhe. Lazaro Nyalandu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya
Norway kwenye Mkutano uliofanyika
Mpingo House jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya
Norway, Mhe. Ola Elvestuen ( kushoto) akimkabidhi zawadi
Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu baada ya Mkutano
wa Kamati ya Bunge ya Maliasili,
Ardhi na Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam
WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY
Reviewed by crispaseve
on
14:22
Rating:

Post a Comment