Header AD

WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY

 Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ( katika kati) akimsikiliza  Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola  Elvestuen  (kushoto) wakiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania, Bi.  Hanne-Marie Kaarstad, (kulia) Kabla ya Mkutano  wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway  uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam.
 Waziri waWizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway kwenye Mkutano   uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola  Elvestuen  ( kushoto) akimkabidhi zawadi Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu baada  ya Mkutano  wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam
WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY  WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY Reviewed by crispaseve on 14:22 Rating: 5

No comments

Post AD