Header AD

SOMA MAJINA YA ABIRIA 64 WALIOKUWA WAKISAFIRI NA BASI LA MAJINJA JANA NAKUPATA AJALI MKOANI IRINGA

 Foleni ya magari katika eneo la Changarawe baada ya ajali hiyo.
 Miongoni mwa manusura 22 wa ajali ya basi la Majinja lenye namba za usajili T438 CED wakiwa wamelazwa

katika hospitali ya Mkoa Iringa kwa matibabu. Abiria 42 walipoteza maisha katika ajali hiyo.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Barabarani mkoa wa Iringa, Salim Asas Abri (kulia) akiwa na

 

 viongozi wengine wakiwajulia hali manusura wa ajali hiyo.

Kontena lilokuwa limepajkiwa katika lori la mizigo Scania namba T 689 APJ, mali ya Cipex Company likiwa

limelalia juu ya basi lenye namba za usajili T438 CED, mali ya kampuni ya Majinja na kusababisha vifo vya watu 42 na wengine kadhaa kujeruhiwa jana katika eneo la Changarawe, nje kidogo ya mji wa Mafinga mkoani Iringa leo.

Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Amina Masenza  (wa  pili kulia) akiwa na Kamanda  wa Polisi mkoa wa Iringa  Ramadhan Mungi ,Mwenyekiti wakamati ya  Usalama Barabarani mkoa wa Iringa  Salim Asas Abri (wapili kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya  Mufindi, Mboni Mhita eneo la ajali. 
---
MAJINA YALIYOPATIKANA HADI SASA NI: Baraka Ndone  (dereva), Yahya  Hassan ( kondakta), Ester Emanuel, Lusekelo Enock, Jeremia Watson, Digna Solomoni, Frank Chiwango, Luteni Sanga, Teresia Kamingage, Dotto Katuga, Ester Fidelis, Paulina Justine, Mbamba Ipyana, Catherine Mwate, Mwajengo, Ndulile Kasambala, Zera Kasambala, Rebeka Kasambala, Shadrack Msigwa, Mathias Justine, Juliana Bukuku, Cristina Lyimo, Martin Haule na Dominick Mashauri, Omega Mwakasege.
SOMA MAJINA YA ABIRIA 64 WALIOKUWA WAKISAFIRI NA BASI LA MAJINJA JANA NAKUPATA AJALI MKOANI IRINGA SOMA MAJINA YA ABIRIA 64 WALIOKUWA WAKISAFIRI NA BASI LA MAJINJA JANA NAKUPATA AJALI MKOANI IRINGA Reviewed by crispaseve on 09:41 Rating: 5

No comments

Post AD