Header AD

BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO

SAM_2438
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Crdb Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya mkutano mkuu wa ishirini  wa wanahisa wa Benki ya Crdb  unatarajia kufanyika kesho  jijini Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa Jamiiblog) .

SAM_2443
Baadhi ya sehemu ya waandishi wa habari kutoka jijini Arusha
SAM_2437
Godwin Semunyo Meneja mahusiano Benki ya CRDB
SAM_2432
Bi.Tully Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na huduma kwa wateja akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika maandalizi ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya CRDB
SAM_2450
Kulia ni Katibu wa bodi ya CRDB John Baptist Rugambo,katikati ni Mkurugenzi wa Fedha Frederick Nshekanabo,Kushoto Tully Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na huduma kwa wateja.
BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO Reviewed by crispaseve on 06:15 Rating: 5

No comments

Post AD