BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO
Mkurugenzi
mkuu wa Benki ya Crdb Dr,Charles Kimei akiongea na waandishi wa habari
kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha akitoa taarifa ya
mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya Crdb unatarajia
kufanyika kesho jijini Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa
Jamiiblog) .
Baadhi ya sehemu ya waandishi wa habari kutoka jijini Arusha
Godwin Semunyo Meneja mahusiano Benki ya CRDB
Bi.Tully
Esther Mwambapa ambaye ni Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na huduma kwa
wateja akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika maandalizi
ya mkutano mkuu wa ishirini wa wanahisa wa Benki ya CRDB
Kulia
ni Katibu wa bodi ya CRDB John Baptist Rugambo,katikati ni Mkurugenzi
wa Fedha Frederick Nshekanabo,Kushoto Tully Esther Mwambapa ambaye ni
Mkurugenzi wa Masoko,Utafiti na huduma kwa wateja.
BENKI YA CRDB KUFANYA MKUTANO WA ISHIRINI WA WANAHISA JIJINI ARUSHA KESHO
Reviewed by crispaseve
on
06:15
Rating:

Post a Comment