HALI ILIVYOKUWA TETE LEO KITUO CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI-UBUNGO.
| Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji. |
| Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. |
HALI ILIVYOKUWA TETE LEO KITUO CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI-UBUNGO.
Reviewed by crispaseve
on
10:19
Rating:

Post a Comment