DC WA HANDENI GODWIN GONDWE ASULUHUSHA MGOGORO WA MPAKA ULIODUMU KWA MUDA MREFU

RAMANI YA 2007 ndiyo iliyotumika
kusuluhisha mgogoro huo ambapo aliwaeleza wananchi kuwa ramani hiyo
ndiyo iliyotumika kuweka mipaka ya maeneo husika Tanzania nzima na
hakuna mwenye mamalaka ya kuibadili isipokua Raisi mwenye mamalaka ya
Ardhi ya Tanzania nzima.
Mkuu wa wilaya Mh. Godwin Gondwe akisalimiana na mmoja wa wananchi wa
Wilaya ya Handeni kabla ya zoezi la kutatua mgogoro wa mpaka.
DC WA HANDENI GODWIN GONDWE ASULUHUSHA MGOGORO WA MPAKA ULIODUMU KWA MUDA MREFU
Reviewed by crispaseve
on
00:38
Rating:

Post a Comment