SIMU AINA YA NOKIA ASHA YAZINDULIWA JIJINI DAR KWA KISHINDO
Meneja wa Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha” kwa Dj Fetty wa Radio Cloudz wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wasanii wa kundi la Tanzania House of Talent (THT) wakicheza wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Balozi wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam
THT wakicheza
Balozi wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam
Balozi wa Nokia “Asha”, Abdalah Ngoma (wa pili kulia) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam
Mtangazaji na Dj wa Radio ya Cloudz fm, Fatuma Hassan(Fetty), (kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam .Kushoto ni Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter,na mtangazaji wa Radio Cloudz, Hamis Mandi(B12
Meneja wa Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha”kwa Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter.
Wakiwa na furaha mara baada ya kupata zawadi ya simu
Sasa muziki kwenda mbele
Wadau wakisakata rumba kwa kwenda mbele.Picha Na Michael Machellah
Reviewed by crispaseve
on
09:39
Rating:
Post a Comment