Header AD

Irine Sizari ndiye Redds Miss Ubungo 2012

 Redds Miss Ubungo 2012, Irine Sizari, akipunga mkono kwa furaha mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa shindano hilo na kuwabwaga warembo wengine 14 usiku huu katika Ukumbi wa Land Mark Hotel jijini Dar es Salaam. 
  Redds Miss Ubungo 2012, Irine Sizari (katikati) akipunga mono baada ya kuvukwa taji hilo na kupata tiketi ya kushiriki Miss Kinondoni 2012. Kushoto ni Mshindi wa Pili, Mwantumu Mustafa na kulia ni Mshindi wa tatu, Antonia Nyaragwinda. Shindano hilo limefanyika Juni 29, 2012 kuamkia Juni 30.
 Baadhi ya warembo wa miss Ubungo wakipita jukwaani na vazi la ubunifu
 Wanenguaji wa Kundi la FM Academia wakisakata ngoma za Bendi hiyo.
PICHA KWA HISANI YA BLOGU YA FATHER KIDEVU
Reviewed by crispaseve on 11:10 Rating: 5

No comments

Post AD