TAMASHA LA TIGO LAPAGAWISHA WATU KAHAMA
Burudani mbalimbali zikiwemo sarakasi na Msanii wa Muziki wa kizazi kipya H Baba zikinogesha Tamasha la Tigo mjini Kahama, Shinyanga hivi karibuni. Wateja walipata zawadi lukuki zikiwemo simu, Tshirt na kofia za Tigo.Vilevile huduma za Tigo zilipatikana katika viwanja hivyo
Sehemu ya umati wa watu Wateja wakipata huduma za tigo H BABA akitumbuiza
Sehemu ya umati wa watu Wateja wakipata huduma za tigo H BABA akitumbuiza
Reviewed by crispaseve
on
01:26
Rating:
Post a Comment