Header AD

JAJI JOSEPH WARIOBA AKIFUNGA KONGAMANO LA TAHLISO KUHUSU KATIBA

  WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akichangia hoja  wakati wa kongamano la kujadili katiba lililofanyika katika ukumbi wa karimjee Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Umoja wa Wanafunzi wa Elimu ya juu nchini (Tahliso). Katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph S. Warioba na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tahliso, Paul Makonda.
 MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph .S. Warioba (aliyesimama)  akizungumza wakati kongamano la kujadili katiba lililofanyika katika ukumbi wa karimjee Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Umoja wa Wanafunzi wa Elimu ya juu nchini (Tahliso). Kulia kwake ni Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe na kushoto kwa Jaji Warioba .ni Mwenyekiti wa Tahliso, Paul Makonda.PICHA KWA HISANI YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Reviewed by crispaseve on 10:50 Rating: 5

No comments

Post AD