Header AD

kampuni ya Prime Time Promotions ltd yatoa rambi rambi ya mil moja kwa serikali ya zanzibar kufuatia ajali ya kuzama kwa meli ya mv skagik


Mratibu wa Coconut Fm Ali Khatib Dai (kushoto) akimkabidhi rambirambi makamu wa pili wa raisi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kiasi cha shilingi milioni moja (1,000,000/-) ofisini kwake Vuga mapema leo
 
 Meneja wa Coconut Fm Husna Abdul akisalimiana na Makamu wa pili wa Raisi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ofisini kwake Vuga mjini Zanzibar walipokwenda kukabidhi rambirambi kufuatia ajali ya meli ya MV Skagik.
 Makamu wa pili wa Raisi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa maelezo kwa mratibu wa Coconut Fm Ali Khatib Dai kuhusiana na hali inayoendelea kuhusiana na ajali ya kuzama kwa meli ya MV Skagik 

Prime Time Promotion kupitia kituo chake cha redio Coconut Fm kimekabidhi rambirambi ya kiasi cha shilingi milioni moja (1,000,000/-) kwa makamu wa pili wa raisi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kufuatia na kuguswa kwake ajali ya kuzama kwa meli ya MV Skagik.
Reviewed by crispaseve on 06:20 Rating: 5

No comments

Post AD